Monday, September 23, 2019

UKWELI WA CELINE DION KWA DRAKE

Mwana mama CELINE DION ambaye ni mkongwe na fund wa vibao kama NEW DAY HAS COME, MY HEART WILL GO ON na THE POWER OF LOVE  ameweza kumuomba msanii mwenzake (rappa) DRAKE mkali wa kibao cha GOD PLAN  pindi alivyo kuwa akihojiwa na radio moja nchin CANADA ijulikanayo kama IHEARTRADIO ombi la mwana mama huyo kwa drake ni kumtaka msanii DRAKE asichole tatuu ya sura ya celine dion mwilin mwake na amemtaka akishindwa kabisa basi achole tatuu feki,,, maneno ya CELINE DION yalikuwa hivi(please drake , i,love you very much. Can i tell you something, do not get a tatoo of my face  in you body. Lakin rapa huyo, star wa gods plan ameonekana kutokumjibu chochote mwanamamaCELINE DION


                                                 mawazo ni muhimu,wew unazani kwan celine dion kamuomba drake asifanye ivo na kwann drake alitaka kuchora tatoo ya mwanamama huyo mwili mwake kama alivyo chola ya msani mwenzake LILY WAYNE      unaweza KUKOMENTI na KUSHILIKISHA pia

Sunday, September 22, 2019

WASANII MATAJILI DUNIANI WA HIP HOP


   Jalida maarufu dunia  lijulikanalo kwa jina la Forbes limetoa listi ya wasaniii wa hip hop matajili dunia kwa mwaka 2019,,listi hiyo ikishikiliwa na wasanii watano toka marekai uku ukiongozwa na msanii JAY Z ambaye ndo namba moja akiwa na utajili wa $1billion akifuatiwa na DR.DRE akiwa msanii wa pili akiwa na utajili wa $800 million,Nafasi ya tatu ikienda kwa DIDDY ajulikanae kama muuza magazeti  kwa utajili wa$700 million nafasi ya NNE ikienda kwa KANYE WEST mwenyew utajili wa $240, Na mwisho katika listi ya matajili hao ni msanii DRAKE mwenyew utajili wa $150 million. Hiyo ni listi ya Mwaka 2019 kwa mu

SIRI KUBWA YA KANYE WEST ILIYO JIFICHA

Msanii, rapper wa kimarekan ajulikanae kwa jina la KANYE OMARI WEST ambae pia n mmiliki wa kanisa la KANYE WEST SUNDAY SERVICE,, ameshangaza uma kwa kauli yake aliyo itamka kuusu maisha yake, kanye west ametamka kauli hiyo akisema kuwa amepata utajili wote alio nao kupitia shetani lakin kwake mungu atabaki kuwa mfalme  i have all the riches from devil  but god is the only king











Thursday, September 12, 2019

FIRST BLACK MAN TO HOLD PRESIDENT POSITION IN THE WORLD OF AFRICA

FROM LIBERIA


JOSEPH JENSKINS ROBERTS
he regarded as the first black people to hold the higher position in government rank,this is because of his country (Liberia) was not under colonial domination but was there to save the rapid black population growth in Latin America and that was formulated by American colonization society. He take that position of president since 1848 to 1856 and in 182 and 1876 


Friday, August 2, 2019

VITA KUBWA ILIYO WAI KUTOKEA KABRA YA VITA KUU YA DUNIA

Image result for seven years war canada saba ya vita ( 7 years  war ) hii ni vta iliyopiganwa kat ya mataifa makuu mawil , mwaka 1756 mpaka 1763. Ni vita kubwa iliyo wai kutokea kwa sababu ilijumuisha nafasi kubwa ya dunia , Ambapo dunia pia ilikuwa imegawanyika katika sehem kuu 2 .
Sehemu ya kwanza ilikuwa ni sehemu ya Taifa la Uingereza ambalo lilikuwa na timu yake iliyo kuwa na mataifa kama 
1 ufalme wa prussia 
2 ufalme wa uereno
Na sehemu ya pili ilikuwa ya taifa la ufaransa ambalo nalo lilikuwa na timu yake kama ifutavyo ambapo mataifa kama ,
1 Australia
2 Romania
3 Swedes yalkikuwa yakiunga sere ya mfaransa kwa wakati huo .Lakin pia richa ya mataifa hayo kupigana , vita hiyo ilikuwa pia imejumish mabara matano amabayo ni kama yafuatayo,
Ulaya
America 
Africa maghalibi
Asia
Philipine
Nin sababu ya ugomvi wao.Image result for seven years war canada
sababu kubwa ilikuwa kupata northern american 

Wednesday, July 31, 2019

WATANZANIA KUITWA TUMBILI< NINI MAON YAKO

Ronald Reagan: Kwa nini rais huyo wa zamani Marekani aliwaita wajumbe wa Tanzania 'tumbili'Aliyekuwa rais wa marekani Renald Reagan

Rais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan aliwaita tumbili wajumbe wa Afrika katika Umoja wa Mataifa UN mwaka 1971 wakati alipokuwa gavana wa Jimbo la California katika ukanda wa sauti uliochapishwa na The Atlantic.
Alitoa matamshi hayo ya kibaguzi katika mawasiliano ya simu kwa aliyekuwa wakati huo rais wa Marekani Richard Nixon ambaye alirekodi simu zake zote.
Gavana huyo alikasirishwa kwamba wajumbe wa Afrika katika Umoja wa Mataifa UN hawakuiunga mkono Marekani katika kura ya kuitambua CBaada ya kura hiyo, wajumbe wa Tanzania walikuwa wameanza kucheza densi katika ukumbi wa UN.hina na kuipiga marufuku Taiwan.

Tuesday, July 30, 2019

KUMEKUCHA IRAN NA UINGEREZA >HALI BADO TETE

Grace 1Nahodha wa meli ya mafuta iliyotekwa na ilipokuwa imebeba mafuta ya Iran amesema kuwa Kikosi cha majini cha Uingereza kilitumia "kikosi cha ghasia " katika kuiteka meli.
Mapema wiki hii, Vikosi vya Marekani viliwalazimisha maafisa wa Gibraltar ambao mewli yao ya mafuta ilikuwa imebeba imebeba mafita kuelekea nchini Syria jambo ambalo lilikuwa ni ukiukaji wa vikwazo vya Muungano wa Ulaya.
Nahodha amesema kuwa kikosi cha wanamaji cha Uingereza waliwalazimisha wahudumu wake ambao hawakuwa na silaha kupiga magoti kwa kuonyeshwa mtutu wa bunduki.
Hata hivyo Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilisema kuwa kutekwa kwa meli hiyo ilikuwa ni kulingana na "sheria na miiko ya kimataifa ".
Tarehe 4 Julai, takriban wanamaji 30 kutoka kikosi cha askari wa uvamizi 42 walisafirishwa kwa ndege kuutoka nchini Uingereza hadi Gibraltar kusaidia kuikamata meli na shehena yake , kufuatia ombi la serikali ya Gibraltar.

BIBLE BOOKS WHICH USED AS THE REFERENCE IN RASTAFARIANISM RELIGION

Worship

Image result for rastafarianismWorship

Rastafari doesn't have a specific religious building that is set aside for worship. Rastafarians usually meet weekly, either in a believer's home or in a community centre.
The meetings are referred to as Reasoning sessions. They provide a time for chants, prayers and singing, and for communal issues to be discussed. Marijuana may be smoked to produce heightened spiritual states.
The music used at these meetings is known as Nyabingi, and so when meetings are mostly musical they are often referred to as Nyabingi meetings.
Meetings may also include large feasts.

Marijuana

Marijuana plants in a greenhouseMarijuana plants in a greenhouse
Marijuana is regarded as a herb of religious significance. It is used in Rastafari reasoning sessions, which are communal meetings involving meditation.
According to Leonard Barrett, Rastafarians first began using Marijuana in reaction to the treatment of blacks in society. It became a reactionary device to enable freedom from the establishment. (Leonard Barrett, The Rastafarians, The Dreadlocks of Jamaica p. 129)
Marijuana is used by Rastafarians to heighten feelings of community and to produce visions of a religious and calming nature.
Rastafarians are unlikely to refer to the substance as marijuana; they usually describe it as the wisdom weed or the holy herb.
The latter name is used because Rastafarians believe that marijuana use is sacred, following biblical texts justifying its use:
He causeth the grass for the cattle, and herb for the services of man.
Psalm 104:14
...thou shalt eat the herb of the field.
Genesis 3.18
...eat every herb of the land.
Exodus 10:12
Better is a dinner of herb where love is, than a stalled ox and hatred therewith.
Proverbs 15:17
The use of marijuana is a highly ritualised act, and before it is used a prayer is uttered by all:
Glory be to the father and to the maker of creation. As it was in the beginning is now and ever shall be World without end: Jah Rastafari: Eternal God Selassie I.
The marijuana is rolled into a cigarette or placed into a chillum pipe. When smoked it is inhaled deeply, then held, as the devotee enters into a trance-like state.
Top

Dreadlocks and food

Dreadlocks

Rastafarians can often be recognised from the way they style their hair. Rastafarians grow their hair long, before coiling it into dreadlocks.
The wearing of hair in dreadlocks by Rastafarians is believed to be spiritual; this is justified in the Bible:
They shall not make baldness upon their head.
Leviticus 21:5

Food laws

  • Rastafarians eat strictly I-tal which means natural and clean
  • Early Rastafarians are unlikely to eat meat, scavengers or shellfish
  • Rastafarians do not eat pork
  • Rastafarians regularly eat fish, but will not eat fish more than twelve inches long
  • Rastafarians eat copious amounts of vegetables, as they are of the earth, and therefore good
  • Food is prepared without salt, and coconut oil is the most likely form of oil to be utilised
  • Rastafarians do not drink alcohol
  • They do not drink milk or coffee, but will drink anything herbal, grown from natural roots, e.g. herbal tea
  • Rastafarians consume plentiful amounts of fruit and fruit juice
Image result for rastafarianism

MJUE ALIYE PEWA SUMU KWA KOSA LA KUMPINGA RAISI

Alexei Navalny: Ni nani?
Police officers detain Russia's top opposition figure Alexei Navalny (C) after his visit the city's election commission office to submit documents to get registered as a mayoral election candidate in Moscow July 10, 2013.
  • Alizaliwa Juni 4 1976 huko Butyn, katika eneo la Moscow
  • Alihitimu sheria katika chuo kikuu cha Friendship of the Peoples Moscow mnamo 1998
  • Anaishi Moscow na mkewe na wanaw
    Navalny alikamatwa na kuwekwa gerezani kwa siku 15 kufuatia maandamanoya kwanza mnamo Desemba 5 2011 lakini akabuka kuzungumza katika mkutano mkubwa wa kisiasa baada ya uchaguzi Moscow Desemba, uliohudhuriwa na watu 120,000.
    Putin alichaguliwa tena kama rais kwa urahisi na kamati yenye nguvu ya uchunguzi nchini ikaidhinisha uchunguzi dhidi ya shughuli za Navalny za siku za nyuma, kiasi cha hata kuhoji sifa yake ya uwakili.
    Alipokamatwa kwa muda mfupi mnamo Julai 2013 kwa ubadhirifu wa fedha katika mji wa Kirov, hukumu hiyo ya miaka mitano ilitazamwa pakubwa kama ya kisiasa.
    Aliachuliwa huru ghafla kupiga kampeni kwa uchaguzi wa u Meya Moscow, iambapo alipata 27% ya kura nyuma ya mshirika wa Putin, Sergei Sobyanin.
    Huo ulitazamwa kama ufanisi kutokana na kuwa ushindi wake ulitokana na intaneti na kwa kuzungumza na watu pekee.Alexei Navalny returns from Kirov after his 5-year term was made a suspended sentence
    Kesi yake ikageuzwa na mahakama ya juu zaidi Urusi kufuatia uamuzi wa mahakama ya haki za binaadamu ya Ulaya kwamba kesi yake haikusikizwa kwa usawa.
    Alafu katika kusikizwa tena 2017, alishtakiwa kwa mara ya pili na kupewa hukumu ya baadaye ya miaka mitano.
    Alitaja hukumu hyo kama jitihada ya kumzuia kuwania katika uchaguzi mkuu wa 2018.Police officers detain protest leader Alexei Navalny outside Zamoskvoretsky district court in Moscow, on 24 February 2014

    Afya yake sasa

    Madaktari wanamfanyia ukaguzi hivi sasa kubaini chanzo cha kuugua kwake ghafla baada ya kukamatwa hivi karibuni.
    Ripoti za awali zinaashiria alipata mzio mkali zilizochangia uso wake kufura macho kutoka maji na kutokwa na vipele mwilini.
    Hatahivyo, daktari binafsi wa Navalny siku ya Jumapili amesema hajawahi kukabiliwa na mzio katika siku za nyuma na huenda amekumbana na 'kitu chenye sumu'.
    Maafisa wa afya waliomhudumia wanasema walifanikiwa kumtibu Jumatatu, na wamepanga ukaguzi wa kando wa sampuli za nywele zake na fulana aliovaa .

Takwimu zaonyesha 37% ya watoto wilayani Mpwapwa Tanzania wanakosa lishe bora


utapia mloWilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma inaripotiwa kuwa na idadi kubwa ya watoto wenye tatizo la utapia mlo.
Takwimu rasmi za wilaya hiyo zinaonyesha kuwa asimilia 37 ya watoto elfu sabini waliopo katika eneo hilo, wanakosa lishe bora.
Licha ya huduma na jitihada zinazofanywa kwa sasa na serikali, bado tatizo hilo linaonekana kujikita mizizi.
Kwenye wodi ya watoto katika Hospitali ya wilaya ya Mpwapwa, vitanda kadhaa vina watoto waliolazwa na wazazi wao.
Baadhi ya watoto hao wamelazwa kwa kuathirika kwa utapia mlo kama ilivyo kwa Margaret Ndemunuwinda na mwanawe.
'Tumelazwa hapa tangu Ijumaa, tumbo limejaa gesi alafu alikuwa amevimba usoni na miguuni...mpaka sasa hivi nipo ila bado hajapata nafuu... tatizo sina hela ya kumnunulia lishe' anaeleza Margaret kuhusu hali inayomkabili mwanaye mchanga aliyelazwanaye hospitalini humo.
Renatus Kombo, afisa lishe wilayani Mpwapwa anasema mara nyingi watoto wenye tatizo la utapia mlo, huathirika katika kipindi kama hichi ambacho baadhi ya wazazi wanatumia muda mwingi kuandaa mashamba huku wakiwaacha watoto bila lishe bora.utapia mlo
'Wengine hawafiki katika zahanati kwa wakati' anaeleza Renatus na kuongeza kwamba changamoto ni kubwa ya watu kutoelewa umuhimu wa lishe bora licha ya kwamba vyakula vipo.
'Wanategema sana kwenye (vyakula) vya uwanga. Kama ni ugali wa mtama basi ni ugali wa mtama mwezi mzima. Anasahau kwamba kuna matunda, ubuyu, ila hajui matumizi ya buyu ni nini ila ubuyu una faida kubwa sana. hajui pale nyumbani kuna mayai inabidi ayatumie' anafananua afisa huyo.

Utapia mlo ni nini?

Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO hii ni hali inayogusia mapungufu, viwango vya ziada au ukosefu wa usawa wa virutubisho katika chakula anachokula mtu
Takriban watoto milioni 41 walo chni ya miaka mitano duniani wana uzito wa kupitiliza na hiyo ni sehemu ya athari ya ukosefu wa lishe bora, huku wengine milioni 159 wakiathirika ukuwaji kutokana na utapia mlo.
WHO linataja kwamba tatizo linatokana na familia nyingi kutoweza kugharamia chakula au kupata chakula chenye virutubisho vya kutosha kama matunda mboga, maziwa na nyamamtama.
Uelewa mdogo kuhusu lishe bora, umbali wa vituo vya afya na ugumu wa maisha vyote vimeelezwa kuchangia ongezeko la idadi kubwa ya watoto wenye tatizo hilo katika eneo hilo.
Katika ripoti hiyo ya 2018/2019 ya halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa, watoto 485 walio chini ya miaka mitano walikuwa na utapiamlo mkali kwa robo ya tatu ya mwaka, na katika robo ya nne, watoto kulishuhudiwa wagonjwa wapya 230, kati yao 167 wametibiwa, wengine wakitoroka matibabu na 4 wakifariki kutokana na kuchelewa kufika kupokea matibabu.
Monica Chibaluo anasema alichelewa kumfikisha mwanawe aliye na miezi kumi hospitalini kutokana na kwamba nyumbani na hospitalini ni mbali.
'Tulikuwa tunatafuta hela ya kuja hospitalini, baba mtoto amemtelekeza, ...lishe hadi uwe una hela, kama karanga, mchele uwe unaweza kununua ili mtoto apate lishe, hizo hela sikuweza kuzipata'.
Kutokana na changamoto hiyo, maafisa wanaeleza kwamba jitihada zimeidhinishwa za kuwawezesha wauguzi kutoa elimu ya lishe bora kwa wananchi ambao wanaishi na tatizo hilo.Baadhi ya jitihada zinazohitajika kuiboresha hali kwa mujibu wa Renatus ni kuhakikisha miundo mbinu ya usafi na maji salama.
Jitihada za kubadili tabia ya watu kwa kutoa elimu na uhamasishaji kupitia mikutano na katika kliniki.
Kadhalika ametaja umuhimu pia kuwajengea uwezo wanaume kufahamu zaidi uzito na maana ya lishe kutokana na kwamba kama mtafutaj, baba ndiye mhusika, 'kama hawezi kutafuta , ina maana familia itaingia katika matatizo'.

Monday, July 29, 2019

WACHAFU MARUFUKU KUJA DAR ES ALAAM

WATU WACHAFU WAPIGWA MARUFUKU KWENDA MJINI
DAR ES ALAAM 

Ni kauli iliyo tolewa na mueshimiwa mkuu wa mkoa wa dar es alaam (Paul makonda ), kauli hiyo ameitoa kufuatia mkutano wa SADC wa 39 unaotegemea kufanyika nchini Tanzania kuanzia August 18  2019 utakao wakutanisha vingozi ( maraisi 15 wa inchi zinazo unda umoja huo ) lengo likiwa ni kuogopa kumzalilisha mku wa nchi ( raisi john pombe magufuli) katika kipindi chakutano huo. Walengwa wa kauri hiyo ni

1-Wasio oga
2-wasio nyoosha nguo zao
3-watumia wa magali wanao tupa taka ovyo barabarani ( uku akiza kuwa kwa yeyote atakaye bainika kutupa taka ovyo anatakiwa awajibishwe vika kwa kumpa kipande cha kilomita 1 ambacho anatakiwa kudeki ..."" Hawa watu wanajeuri ya pesa ko wakitozwa faini ya pesa wanalipa  na mazingiar yanabaki kuwa machafu ,mkamateni mpeni kipande cha kilomita 1 apide deki "" ) yote haya ni kuonyesha kuwa tuko serious na usafi wa jiji letu ,Makonda amesema ,, amemalizia kwa kusema wachafu wore mnaombwa kuja mjini baada ya mkunano kuisha.




MASIKINI na UOGA WA MASIKINI
na mwadish wako
Mwaki       29/07/2019





Mtu mmoja aliwahi kusema, "ukichukua fedha zote ulimwenguni na ukizagawa sawa sawa kwa kila mmoja, baada ya mda hela zitawarudia wale walio kuwa nazo mara ya kwanza" Kwanini?

......."Maskini ni watumiaji wakati matajiri ni wawekezaji"......

Nioneshe mtu maskini, nitakuonyesha mtu anae pishana na fursa mara kwa mara.

Mtu anaeona changamoto ndani ya kila fursa badala ya kuona fursa ndani ya kila changamoto.

Kuwa KIJANA sio cheo, ni jukumu. Inamaanisha unapaswa kuwajibika kiuchumi Asubuhi, Mchana na Usiku.

Lazima uchukue maamuzi magumu ili upate matokeo makubwa.

Unapaswa kupanga na kuweka mikakati, lazima uthamini faida na fedha kidogo unayoipata. Lazima uwe makini na mwenye nia kama unataka kufanikiwa.

Watu wanaoshangaza kabisa hapa duniani ni WATU MASKINI.

UMASIKINI Ni kupishana na fursa kila wakati.

Angalia sababu hizi
1) ukiwapa bure, watahisi ni mtego.

2) ukiwaambia ni mradi mdogo wawekeze, watakwambia hauwezi ukaleta faida

3) ukiwambia waingie kuwekeza katika ukubwa, watakwambia sina hela

4)ukiwaambia wajaribu vitu vipya, watakwambia hamna uzoefu: umewahi kuona wapi hichi kitu kimefanikiwa? Nani amewahi kufaidika nacho?

5) Ukiwaambia ni biashara ya kawaida ya kila siku, watakwambia ni kazi ngumu sana hiyo

6) ukimwambia ni mpango biashara mpya, atakwambia mimi huwa siongeagi sana na watu alafu ni kwa miaka mingapi sasa huu mpango biashara umekuwepo?

7) ukimwambia afungue duka, atakwambia nitakosa uhuru ntashindwa kufanya mambo mengine.

8) ukimwambia afate mpango wa biashara yake kwa mwaka mmoja, atakwambia ni mda mrefu sana huo, siwezi subiri.

9) ukimuuliza ni nini anaweza kufanya, atakwambia "naweza kufanya chochote"

10) wanapenda kuwauliza marafiki zao, ambao ni kama wao juu ya mtazamo wao. Hata maandiko matakatifu yameeleza kuwa vipofu, kamwe hawaongozi vipofu wenzao.

11) wanafikiri zaidi ya mkufunzi wa chuo kikuu na wanafanya kidogo kuliko kipofu.

12)Akienda kanisani anasema hana kabisa sadaka lakini wakati huo huo anatoka na kununua maandalizi (ANAAMUA KU'INVEST CHOONI KULIKO KWENYE UFALME WA MUNGU)

Changamoto kubwa sana watu maskini walio nayo, ni kukosa kuchukua hatua

Wanafurahia kasehemu kasiko na mahangaiko. Wanakwea katika dimbwi la ulimwengu wao na ufahamu wao ....

NB;
kuna hatari katika kuchukua hatua, lakini ni hatari zaidi kutokuchukua hatua.. je Ni Bora kuchuka hatua badae usipofanikiwa ukajifunza kitu Katika maisha ya utaftaji? au ukaacha kuichukua hatua badae ukaanza kushangaa mafanikio ya wale waliochukua hatua? (utasikia huyu nilisoma nae secondary) "maneno ya wasiopenda kuchuka hatu"

Bora kuchukua hatua.

Masikin chukua hatua kwa lengo la kukifanya kizazi chako kutoka na kutokuja kuishi kiumasikin kama ilivyo kuwa kwa wew .wekeza shilingi moja ili kesho update shilingi mbili ambazo zitakuwa mlango wa mafanikio kwa kizazi chako

Thursday, July 18, 2019

MOVING TO WORLD LOVE AFFAIRS

By mwakiwaya ::  july 18 2019

Love is some thing that operate in side the animal heart especially in animals soul ,I use the broader term animal, because all animals in this universe have a soul in their heart ,and in that soul there is where love come from ( its natural occurring phenomena).

Love is not a force occurring phenomena because it is belong to unconditional stimulus group. Loving some one is not resulted from force but it resulted from the soul feeling that react to some body you meet with in an accidental situation (sex love ).
A real love do not come from some body you was wishing to have him or her on your side ( in your world of love ) a real lover come from a stranger ...a person you wasn't expecting in you mind to meet with . But in the sphere of love that person become to be you love sweater through his or her care to you.
There fore love is not what you think on you mind but love is what you do with you partner also also love is not what you told some body earlier( the word of I love you) but love is how you interact with you partner (having a special time for you partner even if your so busy, make you person as second important person ranking from your parent,having a common goal with you partner, and last made you person to learn a new things from you often you meet,economic issue, social issue, so as to encourage him to have a good time with you.)