Monday, September 23, 2019

UKWELI WA CELINE DION KWA DRAKE

Mwana mama CELINE DION ambaye ni mkongwe na fund wa vibao kama NEW DAY HAS COME, MY HEART WILL GO ON na THE POWER OF LOVE  ameweza kumuomba msanii mwenzake (rappa) DRAKE mkali wa kibao cha GOD PLAN  pindi alivyo kuwa akihojiwa na radio moja nchin CANADA ijulikanayo kama IHEARTRADIO ombi la mwana mama huyo kwa drake ni kumtaka msanii DRAKE asichole tatuu ya sura ya celine dion mwilin mwake na amemtaka akishindwa kabisa basi achole tatuu feki,,, maneno ya CELINE DION yalikuwa hivi(please drake , i,love you very much. Can i tell you something, do not get a tatoo of my face  in you body. Lakin rapa huyo, star wa gods plan ameonekana kutokumjibu chochote mwanamamaCELINE DION


                                                 mawazo ni muhimu,wew unazani kwan celine dion kamuomba drake asifanye ivo na kwann drake alitaka kuchora tatoo ya mwanamama huyo mwili mwake kama alivyo chola ya msani mwenzake LILY WAYNE      unaweza KUKOMENTI na KUSHILIKISHA pia

No comments:

Post a Comment