Sunday, September 22, 2019

WASANII MATAJILI DUNIANI WA HIP HOP


   Jalida maarufu dunia  lijulikanalo kwa jina la Forbes limetoa listi ya wasaniii wa hip hop matajili dunia kwa mwaka 2019,,listi hiyo ikishikiliwa na wasanii watano toka marekai uku ukiongozwa na msanii JAY Z ambaye ndo namba moja akiwa na utajili wa $1billion akifuatiwa na DR.DRE akiwa msanii wa pili akiwa na utajili wa $800 million,Nafasi ya tatu ikienda kwa DIDDY ajulikanae kama muuza magazeti  kwa utajili wa$700 million nafasi ya NNE ikienda kwa KANYE WEST mwenyew utajili wa $240, Na mwisho katika listi ya matajili hao ni msanii DRAKE mwenyew utajili wa $150 million. Hiyo ni listi ya Mwaka 2019 kwa mu

No comments:

Post a Comment