Wednesday, July 31, 2019

WATANZANIA KUITWA TUMBILI< NINI MAON YAKO

Ronald Reagan: Kwa nini rais huyo wa zamani Marekani aliwaita wajumbe wa Tanzania 'tumbili'Aliyekuwa rais wa marekani Renald Reagan

Rais wa zamani wa Marekani Ronald Reagan aliwaita tumbili wajumbe wa Afrika katika Umoja wa Mataifa UN mwaka 1971 wakati alipokuwa gavana wa Jimbo la California katika ukanda wa sauti uliochapishwa na The Atlantic.
Alitoa matamshi hayo ya kibaguzi katika mawasiliano ya simu kwa aliyekuwa wakati huo rais wa Marekani Richard Nixon ambaye alirekodi simu zake zote.
Gavana huyo alikasirishwa kwamba wajumbe wa Afrika katika Umoja wa Mataifa UN hawakuiunga mkono Marekani katika kura ya kuitambua CBaada ya kura hiyo, wajumbe wa Tanzania walikuwa wameanza kucheza densi katika ukumbi wa UN.hina na kuipiga marufuku Taiwan.

No comments:

Post a Comment