Tuesday, July 30, 2019

MJUE ALIYE PEWA SUMU KWA KOSA LA KUMPINGA RAISI

Alexei Navalny: Ni nani?
Police officers detain Russia's top opposition figure Alexei Navalny (C) after his visit the city's election commission office to submit documents to get registered as a mayoral election candidate in Moscow July 10, 2013.
  • Alizaliwa Juni 4 1976 huko Butyn, katika eneo la Moscow
  • Alihitimu sheria katika chuo kikuu cha Friendship of the Peoples Moscow mnamo 1998
  • Anaishi Moscow na mkewe na wanaw
    Navalny alikamatwa na kuwekwa gerezani kwa siku 15 kufuatia maandamanoya kwanza mnamo Desemba 5 2011 lakini akabuka kuzungumza katika mkutano mkubwa wa kisiasa baada ya uchaguzi Moscow Desemba, uliohudhuriwa na watu 120,000.
    Putin alichaguliwa tena kama rais kwa urahisi na kamati yenye nguvu ya uchunguzi nchini ikaidhinisha uchunguzi dhidi ya shughuli za Navalny za siku za nyuma, kiasi cha hata kuhoji sifa yake ya uwakili.
    Alipokamatwa kwa muda mfupi mnamo Julai 2013 kwa ubadhirifu wa fedha katika mji wa Kirov, hukumu hiyo ya miaka mitano ilitazamwa pakubwa kama ya kisiasa.
    Aliachuliwa huru ghafla kupiga kampeni kwa uchaguzi wa u Meya Moscow, iambapo alipata 27% ya kura nyuma ya mshirika wa Putin, Sergei Sobyanin.
    Huo ulitazamwa kama ufanisi kutokana na kuwa ushindi wake ulitokana na intaneti na kwa kuzungumza na watu pekee.Alexei Navalny returns from Kirov after his 5-year term was made a suspended sentence
    Kesi yake ikageuzwa na mahakama ya juu zaidi Urusi kufuatia uamuzi wa mahakama ya haki za binaadamu ya Ulaya kwamba kesi yake haikusikizwa kwa usawa.
    Alafu katika kusikizwa tena 2017, alishtakiwa kwa mara ya pili na kupewa hukumu ya baadaye ya miaka mitano.
    Alitaja hukumu hyo kama jitihada ya kumzuia kuwania katika uchaguzi mkuu wa 2018.Police officers detain protest leader Alexei Navalny outside Zamoskvoretsky district court in Moscow, on 24 February 2014

    Afya yake sasa

    Madaktari wanamfanyia ukaguzi hivi sasa kubaini chanzo cha kuugua kwake ghafla baada ya kukamatwa hivi karibuni.
    Ripoti za awali zinaashiria alipata mzio mkali zilizochangia uso wake kufura macho kutoka maji na kutokwa na vipele mwilini.
    Hatahivyo, daktari binafsi wa Navalny siku ya Jumapili amesema hajawahi kukabiliwa na mzio katika siku za nyuma na huenda amekumbana na 'kitu chenye sumu'.
    Maafisa wa afya waliomhudumia wanasema walifanikiwa kumtibu Jumatatu, na wamepanga ukaguzi wa kando wa sampuli za nywele zake na fulana aliovaa .

No comments:

Post a Comment