
Sehemu ya kwanza ilikuwa ni sehemu ya Taifa la Uingereza ambalo lilikuwa na timu yake iliyo kuwa na mataifa kama
1 ufalme wa prussia
2 ufalme wa uereno
Na sehemu ya pili ilikuwa ya taifa la ufaransa ambalo nalo lilikuwa na timu yake kama ifutavyo ambapo mataifa kama ,
1 Australia
2 Romania
3 Swedes yalkikuwa yakiunga sere ya mfaransa kwa wakati huo .Lakin pia richa ya mataifa hayo kupigana , vita hiyo ilikuwa pia imejumish mabara matano amabayo ni kama yafuatayo,
Ulaya
America
Africa maghalibi
Asia
Philipine
Nin sababu ya ugomvi wao.

sababu kubwa ilikuwa kupata northern american